Mathayo 13:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana yeyote aliye na kitu ataongezewa, naye atazidishiwa; lakini yeyote asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.+ Marko 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana aliye na kitu ataongezewa,+ lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.”+ Luka 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo, kazieni uangalifu jinsi mnavyosikiliza, kwa maana yule aliye na kitu ataongezewa,+ lakini yule asiye na kitu, hata kile anachowazia kwamba anacho kitachukuliwa.”+ Yohana 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yeye huliondoa kila tawi ndani yangu lisilozaa matunda, naye hulisafisha kila tawi linalozaa matunda, ili lizae matunda zaidi.+
12 Kwa maana yeyote aliye na kitu ataongezewa, naye atazidishiwa; lakini yeyote asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.+
25 Kwa maana aliye na kitu ataongezewa,+ lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.”+
18 Kwa hiyo, kazieni uangalifu jinsi mnavyosikiliza, kwa maana yule aliye na kitu ataongezewa,+ lakini yule asiye na kitu, hata kile anachowazia kwamba anacho kitachukuliwa.”+
2 Yeye huliondoa kila tawi ndani yangu lisilozaa matunda, naye hulisafisha kila tawi linalozaa matunda, ili lizae matunda zaidi.+