Matendo 14:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Wakiwa huko wakawatia nguvu wanafunzi*+ na kuwatia moyo wabaki katika imani wakisema: “Ni lazima tuingie katika Ufalme wa Mungu kupitia dhiki nyingi.”+ 1 Petro 4:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Na ikiwa mtu mwadilifu anaokolewa kwa shida, itakuwaje kwa mtu asiyemwogopa Mungu na mtenda dhambi?”+
22 Wakiwa huko wakawatia nguvu wanafunzi*+ na kuwatia moyo wabaki katika imani wakisema: “Ni lazima tuingie katika Ufalme wa Mungu kupitia dhiki nyingi.”+
18 “Na ikiwa mtu mwadilifu anaokolewa kwa shida, itakuwaje kwa mtu asiyemwogopa Mungu na mtenda dhambi?”+