Mathayo 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Tayari shoka limewekwa kwenye mzizi wa miti. Basi, kila mti usiozaa matunda mazuri utakatwa na kutupwa motoni.+ Luka 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kisha akawaambia mfano huu: “Mtu fulani alikuwa na mtini uliopandwa katika shamba lake la mizabibu, akaenda kutafuta matunda kwenye mti huo lakini hakupata.+ Luka 13:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ukizaa matunda wakati ujao, vema; la sivyo, utaukata.’”+
10 Tayari shoka limewekwa kwenye mzizi wa miti. Basi, kila mti usiozaa matunda mazuri utakatwa na kutupwa motoni.+
6 Kisha akawaambia mfano huu: “Mtu fulani alikuwa na mtini uliopandwa katika shamba lake la mizabibu, akaenda kutafuta matunda kwenye mti huo lakini hakupata.+