-
Luka 6:47-49Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
47 Nitawaonyesha jinsi alivyo kila mtu anayekuja kwangu na kusikia maneno yangu na kisha kuyatenda:+ 48 Ni kama mtu aliyejenga nyumba kwa kuchimba kina kirefu na kuweka msingi kwenye mwamba. Baadaye, mafuriko yalipotokea, mto ukaipiga nyumba hiyo, lakini haikutikisika, kwa sababu ilikuwa imejengwa vizuri.+ 49 Kwa upande mwingine, yule anayesikia na hatendi,+ ni kama mtu aliyejenga nyumba juu ya udongo, bila msingi. Mto ukaipiga nyumba hiyo, nayo ikaporomoka mara moja, na kuharibika kabisa.”
-