Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 6:47-49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Nitawaonyesha jinsi alivyo kila mtu anayekuja kwangu na kusikia maneno yangu na kisha kuyatenda:+ 48 Ni kama mtu aliyejenga nyumba kwa kuchimba kina kirefu na kuweka msingi kwenye mwamba. Baadaye, mafuriko yalipotokea, mto ukaipiga nyumba hiyo, lakini haikutikisika, kwa sababu ilikuwa imejengwa vizuri.+ 49 Kwa upande mwingine, yule anayesikia na hatendi,+ ni kama mtu aliyejenga nyumba juu ya udongo, bila msingi. Mto ukaipiga nyumba hiyo, nayo ikaporomoka mara moja, na kuharibika kabisa.”

  • Yakobo 1:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini anayechunguza sheria kamilifu+ ambayo ni ya uhuru na kudumu katika hiyo, amekuwa, si msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi; naye atafurahia kile anachofanya.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki