Yohana 2:24, 25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Lakini Yesu alijihadhari nao kwa sababu aliwajua wote 25 na hakuhitaji mtu yeyote atoe ushahidi kuhusu mwanadamu, kwa maana alijua kilicho ndani ya mwanadamu.+
24 Lakini Yesu alijihadhari nao kwa sababu aliwajua wote 25 na hakuhitaji mtu yeyote atoe ushahidi kuhusu mwanadamu, kwa maana alijua kilicho ndani ya mwanadamu.+