Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 9:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Sasa baadhi ya waandishi wakaambiana: “Mtu huyu anakufuru.” 4 Yesu, akijua fikira zao, akasema: “Kwa nini mnawaza mambo maovu katika mioyo yenu?+

  • Marko 2:6-8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sasa baadhi ya waandishi waliokuwa wameketi hapo wakaanza kuwaza mioyoni mwao:+ 7 “Kwa nini mtu huyu anasema hivyo? Anakufuru. Ni nani anayeweza kusamehe dhambi isipokuwa Mungu peke yake?”+ 8 Lakini mara moja Yesu akatambua rohoni mwake kwamba walikuwa wakiwaza hivyo, basi akawaambia: “Kwa nini mnawaza mambo hayo katika mioyo yenu?+

  • Yohana 1:47, 48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Yesu alipomwona Nathanaeli akija, akasema hivi kumhusu: “Ona, Mwisraeli kwa hakika ambaye hamna udanganyifu ndani yake.”+ 48 Nathanaeli akamuuliza: “Umenijuaje?” Yesu akamjibu: “Nilikuona ulipokuwa chini ya mtini, kabla ya Filipo kukuita.”

  • Yohana 6:64
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 64 Lakini kuna wengine kati yenu ambao hawaamini.” Kwa maana tangu mwanzo Yesu aliwajua wale ambao hawakuamini na yule ambaye angemsaliti.+

  • Ufunuo 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nami nitawaua watoto wake kwa ugonjwa hatari, hivi kwamba makutaniko yote yatajua kwamba mimi ndiye ninayechunguza mawazo ya ndani kabisa* na mioyo, nami nitampa kila mmoja wenu kulingana na matendo yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki