Mathayo 9:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sasa baadhi ya waandishi wakaambiana: “Mtu huyu anakufuru.” 4 Yesu, akijua fikira zao, akasema: “Kwa nini mnawaza mambo maovu katika mioyo yenu?+ Yohana 2:24, 25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Lakini Yesu alijihadhari nao kwa sababu aliwajua wote 25 na hakuhitaji mtu yeyote atoe ushahidi kuhusu mwanadamu, kwa maana alijua kilicho ndani ya mwanadamu.+ Yohana 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana alimjua mtu aliyekuwa akimsaliti.+ Ndiyo sababu alisema: “Sio nyote mlio safi.”
3 Sasa baadhi ya waandishi wakaambiana: “Mtu huyu anakufuru.” 4 Yesu, akijua fikira zao, akasema: “Kwa nini mnawaza mambo maovu katika mioyo yenu?+
24 Lakini Yesu alijihadhari nao kwa sababu aliwajua wote 25 na hakuhitaji mtu yeyote atoe ushahidi kuhusu mwanadamu, kwa maana alijua kilicho ndani ya mwanadamu.+