14 Akaanzisha* kikundi cha wanaume 12, ambao pia aliwaita mitume, nao wangefuatana naye, na angewatuma kuhubiri 15 na wangekuwa na mamlaka ya kufukuza roho waovu.+
9Ndipo akawaita pamoja wale 12, akawapa nguvu na mamlaka ya kufukuza roho wote waovu+ na kuponya magonjwa.+2 Kisha akawatuma kuhubiri kuhusu Ufalme wa Mungu na kuponya,