Wafilipi 2:14, 15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Endeleeni kufanya mambo yote bila kunung’unika+ wala kubishana,+ 15 ili mje kuwa bila lawama wala hatia, watoto wa Mungu+ wasio na dosari katikati ya kizazi kilicho kombo na kilichopotoka,+ ambao kati yao mnaangaza kama mianga katika ulimwengu,+
14 Endeleeni kufanya mambo yote bila kunung’unika+ wala kubishana,+ 15 ili mje kuwa bila lawama wala hatia, watoto wa Mungu+ wasio na dosari katikati ya kizazi kilicho kombo na kilichopotoka,+ ambao kati yao mnaangaza kama mianga katika ulimwengu,+