Luka 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi Yesu akawauliza wale wenye ujuzi wa Sheria na Mafarisayo: “Je, ni halali au si halali kumponya mtu siku ya Sabato?”+ Yohana 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kisha baadhi ya Mafarisayo wakaanza kusema: “Mtu huyo hatoki kwa Mungu, kwa sababu hashiki Sabato.”+ Wengine wakasema: “Mtenda dhambi anawezaje kufanya ishara kama hizo?”+ Basi kukawa na mgawanyiko kati yao.+
3 Basi Yesu akawauliza wale wenye ujuzi wa Sheria na Mafarisayo: “Je, ni halali au si halali kumponya mtu siku ya Sabato?”+
16 Kisha baadhi ya Mafarisayo wakaanza kusema: “Mtu huyo hatoki kwa Mungu, kwa sababu hashiki Sabato.”+ Wengine wakasema: “Mtenda dhambi anawezaje kufanya ishara kama hizo?”+ Basi kukawa na mgawanyiko kati yao.+