Luka 12:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Je, mnafikiri nilikuja kuleta amani duniani? Hapana, si amani bali mgawanyiko.+ Yohana 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kulikuwa na minong’ono mingi kumhusu katika umati. Baadhi yao walisema: “Yeye ni mtu mwema.” Nao wengine wakasema: “Hapana. Anaupotosha umati.”+ Yohana 7:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Basi kukatokea mgawanyiko kumhusu katika umati. Yohana 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kisha mgawanyiko ukatokea tena kati ya Wayahudi+ kwa sababu ya maneno hayo.
12 Kulikuwa na minong’ono mingi kumhusu katika umati. Baadhi yao walisema: “Yeye ni mtu mwema.” Nao wengine wakasema: “Hapana. Anaupotosha umati.”+