Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 12:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Je, mnafikiri nilikuja kuleta amani duniani? Hapana, si amani bali mgawanyiko.+

  • Yohana 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kulikuwa na minong’ono mingi kumhusu katika umati. Baadhi yao walisema: “Yeye ni mtu mwema.” Nao wengine wakasema: “Hapana. Anaupotosha umati.”+

  • Yohana 7:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Basi kukatokea mgawanyiko kumhusu katika umati.

  • Yohana 10:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kisha mgawanyiko ukatokea tena kati ya Wayahudi+ kwa sababu ya maneno hayo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki