34 Msifikiri nilikuja kuleta amani duniani, sikuja kuleta amani, bali upanga.+ 35 Kwa maana nilikuja kuleta mgawanyiko, mtu dhidi ya baba yake, binti dhidi ya mama yake, na binti mkwe dhidi ya mama mkwe wake.+ 36 Kwa kweli, adui za mtu watakuwa watu wa nyumbani mwake.