Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:34-36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Msifikiri nilikuja kuleta amani duniani, sikuja kuleta amani, bali upanga.+ 35 Kwa maana nilikuja kuleta mgawanyiko, mtu dhidi ya baba yake, binti dhidi ya mama yake, na binti mkwe dhidi ya mama mkwe wake.+ 36 Kwa kweli, adui za mtu watakuwa watu wa nyumbani mwake.

  • Yohana 7:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Wengine walikuwa wakisema: “Huyu ndiye Kristo.”+ Lakini wengine wakasema: “Kristo hatakuja kutoka Galilaya, sivyo?+

  • Yohana 7:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Basi kukatokea mgawanyiko kumhusu katika umati.

  • Yohana 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kisha baadhi ya Mafarisayo wakaanza kusema: “Mtu huyo hatoki kwa Mungu, kwa sababu hashiki Sabato.”+ Wengine wakasema: “Mtenda dhambi anawezaje kufanya ishara kama hizo?”+ Basi kukawa na mgawanyiko kati yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki