Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 13:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na mbegu iliyopandwa kwenye udongo mzuri ni wale wanaosikia neno na kulielewa, ambao kwa kweli huzaa matunda, mmoja huzaa mara 100 zaidi, mwingine 60, na mwingine 30.”+

  • Marko 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini nyingine zikaanguka kwenye udongo mzuri, nazo zikakua na kuongezeka, zikaanza kuzaa matunda, mara 30, 60, na 100 zaidi.”+

  • Luka 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini nyingine zikaanguka kwenye udongo mzuri, zikachipuka na kuzaa matunda mara 100 zaidi.”+ Baada ya kusema hayo, akasema kwa sauti kubwa: “Yule aliye na masikio ya kusikiliza, na asikilize.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki