23 Na mbegu iliyopandwa kwenye udongo mzuri ni wale wanaosikia neno na kulielewa, ambao kwa kweli huzaa matunda, mmoja huzaa mara 100 zaidi, mwingine 60, na mwingine 30.”+
8 Lakini nyingine zikaanguka kwenye udongo mzuri, zikachipuka na kuzaa matunda mara 100 zaidi.”+ Baada ya kusema hayo, akasema kwa sauti kubwa: “Yule aliye na masikio ya kusikiliza, na asikilize.”+