-
Marko 4:30-32Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
30 Akaendelea kusema: “Tutaufananisha Ufalme wa Mungu na nini, au tutatumia mfano gani kuufafanua? 31 Ni kama mbegu ya haradali, ambayo ilipopandwa katika udongo ilikuwa ndogo kuliko mbegu zote duniani.+ 32 Lakini baada ya kupandwa, humea na kuwa kubwa kuliko mboga nyingine zote na kutokeza matawi makubwa, hivi kwamba ndege wa angani hupata makao chini ya kivuli chake.”
-