Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mfalme Herode akasikia habari hizo, kwa maana jina la Yesu lilijulikana sana na watu walikuwa wakisema: “Yohana Mbatizaji amefufuliwa kutoka kwa wafu, ndiyo sababu anafanya matendo yenye nguvu.”+

  • Luka 9:7-9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi Herode* mtawala wa wilaya* aliposikia kuhusu mambo yaliyokuwa yakitukia, akashikwa na wasiwasi sana kwa sababu watu walikuwa wakisema Yohana alikuwa amefufuliwa kutoka kwa wafu,+ 8 lakini wengine walikuwa wakisema Eliya alikuwa ametokea, na wengine mmoja wa manabii wa kale alikuwa amefufuliwa.+ 9 Herode akasema: “Yohana nilimkata kichwa.+ Basi, ni nani huyu ninayesikia habari hizi kumhusu?” Kwa hiyo alitamani kumwona.+

  • Matendo 4:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa kweli Herode na Pontio Pilato+ pamoja na watu wa mataifa na watu wa Israeli walikusanyika katika jiji hili dhidi ya mtumishi wako mtakatifu Yesu, ambaye ulimtia mafuta,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki