Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 14:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wakati huo Herode, mtawala wa wilaya,* akasikia habari kumhusu Yesu.+ 2 Akawaambia watumishi wake: “Huyu ni Yohana Mbatizaji. Alifufuliwa kutoka kwa wafu na ndiyo sababu anafanya matendo yenye nguvu.”+

  • Marko 6:14-16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mfalme Herode akasikia habari hizo, kwa maana jina la Yesu lilijulikana sana na watu walikuwa wakisema: “Yohana Mbatizaji amefufuliwa kutoka kwa wafu, ndiyo sababu anafanya matendo yenye nguvu.”+ 15 Lakini wengine walikuwa wakisema: “Ni Eliya.” Pia, wengine wakasema: “Ni nabii kama manabii wa kale.”+ 16 Lakini Herode alipopata habari hizo akasema: “Yule Yohana niliyemkata kichwa, amefufuliwa.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki