Mambo ya Walawi 18:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Usifanye ngono na mke wa ndugu yako,+ kwa sababu utamwaibisha ndugu yako.* Mambo ya Walawi 20:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mwanamume akimchukua mke wa ndugu yake, ni jambo linalochukiza sana.+ Amemwaibisha ndugu yake.* Hawatazaa mtoto.
21 Mwanamume akimchukua mke wa ndugu yake, ni jambo linalochukiza sana.+ Amemwaibisha ndugu yake.* Hawatazaa mtoto.