-
Marko 6:31-33Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
31 Naye akawaambia: “Twendeni faraghani mahali pasipo na watu ili mpumzike kidogo.”+ Kwa maana wengi walikuwa wakija na kwenda, nao hawakuwa na wakati hata wa kula. 32 Basi wakapanda mashua na kwenda mahali pasipo na watu ili wawe peke yao.+ 33 Lakini watu wakawaona wakienda na wengi wakajua jambo hilo. Watu kutoka majiji yote wakakimbia kwa miguu wakafika huko mbele yao.
-