Mathayo 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yesu aliposikia hilo, akaondoka hapo kwa mashua, akaenda mahali pasipo na watu ili awe peke yake. Lakini umati ulipopata habari, ukamfuata kwa miguu kutoka katika majiji.+
13 Yesu aliposikia hilo, akaondoka hapo kwa mashua, akaenda mahali pasipo na watu ili awe peke yake. Lakini umati ulipopata habari, ukamfuata kwa miguu kutoka katika majiji.+