Marko 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Siku hizo Yesu alikuja kutoka Nazareti ya Galilaya, na Yohana akambatiza katika Yordani.+ Luka 2:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Basi, baada ya kufanya mambo yote kulingana na Sheria ya Yehova,*+ wakarudi huko Galilaya kwenye jiji la kwao la Nazareti.+
39 Basi, baada ya kufanya mambo yote kulingana na Sheria ya Yehova,*+ wakarudi huko Galilaya kwenye jiji la kwao la Nazareti.+