Mathayo 14:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wakati huo Herode, mtawala wa wilaya,* akasikia habari kumhusu Yesu.+ 2 Akawaambia watumishi wake: “Huyu ni Yohana Mbatizaji. Alifufuliwa kutoka kwa wafu na ndiyo sababu anafanya matendo yenye nguvu.”+
14 Wakati huo Herode, mtawala wa wilaya,* akasikia habari kumhusu Yesu.+ 2 Akawaambia watumishi wake: “Huyu ni Yohana Mbatizaji. Alifufuliwa kutoka kwa wafu na ndiyo sababu anafanya matendo yenye nguvu.”+