Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Acheni nitangaze agizo la Yehova;

      Aliniambia: “Wewe ni mwanangu;+

      Leo nimekuwa baba yako.+

  • Mathayo 14:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Ndipo wale waliokuwa ndani ya mashua wakamsujudia* wakisema: “Kwa kweli wewe ni Mwana wa Mungu.”

  • Matendo 9:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 na mara moja akaanza kuhubiri katika masinagogi kuhusu Yesu, kwamba huyo ndiye Mwana wa Mungu.

  • Matendo 9:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Lakini Sauli akazidi kupata nguvu na kuwashangaza Wayahudi walioishi Damasko, akithibitisha kupatana na akili kwamba huyu ndiye Kristo.+

  • Waebrania 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Lakini sasa mwishoni mwa siku hizi amezungumza nasi kupitia Mwana,+ aliyemweka rasmi kuwa mrithi wa vitu vyote,+ na kupitia kwake aliifanya mifumo ya mambo.*+

  • 1 Yohana 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yeyote anayekiri kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu,+ Mungu hukaa katika muungano na mtu huyo na yeye katika muungano na Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki