1 Wakorintho 10:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Epukeni kuwa vikwazo kwa Wayahudi na vilevile kwa Wagiriki na kwa kutaniko la Mungu,+ 2 Wakorintho 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hatutoi sababu yoyote ya kukwaza, ili kosa lolote lisipatikane katika huduma yetu;+