Luka 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Malaika akamjibu: “Mimi ni Gabrieli,+ ninayesimama karibu mbele za Mungu,+ nami nilitumwa nizungumze nawe na kukutangazia habari hii njema. Waebrania 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Pia, anasema kuhusu malaika: “Huwafanya malaika wake kuwa roho, na wahudumu wake*+ kuwa mwali wa moto.”+ Waebrania 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Je, wao wote si roho kwa ajili ya utumishi mtakatifu,*+ waliotumwa kuhudumu kwa ajili ya wale watakaorithi wokovu?
19 Malaika akamjibu: “Mimi ni Gabrieli,+ ninayesimama karibu mbele za Mungu,+ nami nilitumwa nizungumze nawe na kukutangazia habari hii njema.
7 Pia, anasema kuhusu malaika: “Huwafanya malaika wake kuwa roho, na wahudumu wake*+ kuwa mwali wa moto.”+
14 Je, wao wote si roho kwa ajili ya utumishi mtakatifu,*+ waliotumwa kuhudumu kwa ajili ya wale watakaorithi wokovu?