Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 11:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ndiyo sababu ninawaambia, mambo yote mnayosali na kuomba, iweni na imani kwamba mmeyapokea, nanyi mtayapata.+

  • Yohana 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Pia, lolote mtakaloomba katika jina langu nitalifanya, ili Baba atukuzwe kuhusiana na Mwana.+

  • Yohana 16:23, 24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Siku hiyo hamtaniuliza swali lolote. Kwa kweli ninawaambia, mkimwomba Baba jambo lolote,+ atawapa katika jina langu.+ 24 Kufikia sasa hamjaomba hata jambo moja katika jina langu. Ombeni nanyi mtapewa, ili shangwe yenu iwe kamili.

  • 1 Yohana 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 na chochote tunachoomba tunapokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunazishika amri zake na tunafanya mambo yanayopendeza machoni pake.

  • 1 Yohana 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na huu ndio uhakika tulio nao kwake,+ kwamba tukiomba chochote kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki