Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 21:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Mtu akimuuza binti yake kuwa mtumwa, hataondoka kama mtumwa wa kiume anavyoondoka.

  • Mambo ya Walawi 25:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 “‘Ikiwa ndugu yako anayeishi karibu nawe amelazimika kujiuza kwako+ kwa sababu amekuwa maskini, usimlazimishe akutumikie kama mtumwa.+

  • 2 Wafalme 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi mke wa mmoja wa wana wa manabii+ akamlilia Elisha akisema: “Mume wangu ambaye ni mtumishi wako amekufa, nawe unajua vizuri kwamba mtumishi wako alimwogopa Yehova sikuzote.+ Sasa mtu fulani aliyemdai mume wangu deni fulani amekuja kuwachukua watoto wangu wawili wawe watumwa wake.”

  • Nehemia 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nikawaambia: “Kwa kadiri tulivyoweza, tumewanunua ndugu zetu wenyewe, Wayahudi, waliouzwa kwa mataifa; lakini je, sasa mtawauza ndugu zenu wenyewe,+ nasi tulazimike kuwanunua tena?” Ndipo wakanyamaza kimya, hawakuwa na lolote la kusema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki