Mathayo 27:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mwishowe, baada ya kumdhihaki, wakamvua lile joho wakamvisha mavazi yake ya nje, wakampeleka akatundikwe mtini.+ Yohana 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kisha Pilato akamchukua Yesu, akampiga mijeledi.+
31 Mwishowe, baada ya kumdhihaki, wakamvua lile joho wakamvisha mavazi yake ya nje, wakampeleka akatundikwe mtini.+