Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Alikandamizwa+ na alikubali kuteswa,+

      Lakini hakuthubutu kufungua kinywa chake.

      Aliletwa kama kondoo machinjioni,+

      Kama kondoo jike aliye kimya mbele ya wanaomkata manyoya,

      Na hakuthubutu kufungua kinywa chake.+

  • Mathayo 20:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Tazama! Tunapanda kwenda Yerusalemu, na Mwana wa binadamu atatiwa mikononi mwa wakuu wa makuhani na waandishi. Nao watamhukumia kifo+ 19 na kumtia mikononi mwa watu wa mataifa ili wamdhihaki, wampige mijeledi, na kumuua kwenye mti;+ na siku ya tatu atafufuliwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki