Marko 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Sasa Masadukayo, ambao husema hakuna ufufuo,+ wakaja na kumuuliza:+ Luka 7:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Lakini Mafarisayo na wale wenye ujuzi wa Sheria walilipuuza shauri la* Mungu,+ kwa sababu hawakuwa wamebatizwa na Yohana.)
30 Lakini Mafarisayo na wale wenye ujuzi wa Sheria walilipuuza shauri la* Mungu,+ kwa sababu hawakuwa wamebatizwa na Yohana.)