46 Kisha Paulo na Barnaba wakawaambia hivi kwa ujasiri: “Ilikuwa lazima neno la Mungu lihubiriwe kwenu kwanza.+ Kwa kuwa mnalikataa na kujiona hamstahili uzima wa milele, tazameni! tunawageukia mataifa.+
2 Kwa maana ninawatolea ushahidi kwamba wana bidii kwa ajili ya Mungu,+ lakini si kulingana na ujuzi sahihi. 3 Kwa sababu ya kutojua uadilifu wa Mungu+ bali wakijaribu kujiwekea uadilifu wao wenyewe,+ hawakujitiisha kwa uadilifu wa Mungu.+