Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 10:41-45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Wale wengine kumi waliposikia jambo hilo, wakawakasirikia Yakobo na Yohana.+ 42 Lakini Yesu akawaita akawaambia: “Mnajua kwamba wale wanaotawala* mataifa hupiga ubwana juu yao na wakuu wao hutumia mamlaka juu yao.+ 43 Haipaswi kuwa hivyo kati yenu; lakini yeyote anayetaka kuwa mkubwa kati yenu lazima awe mhudumu wenu,+ 44 na yeyote anayetaka kuwa wa kwanza kati yenu lazima awe mtumwa wa wote. 45 Kwa maana hata Mwana wa binadamu alikuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake uwe* fidia badala ya wengi.”+

  • Luka 22:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hata hivyo, pia kukatokea bishano kali kuhusu ni nani aliyekuwa mkuu zaidi kati yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki