-
Luka 3:7-9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Basi akaanza kuuambia umati uliokuja kwake ili awabatize: “Enyi uzao wa nyoka,* ni nani amewaonya mkimbie ghadhabu inayokuja?+ 8 Basi zaeni matunda yanayoonyesha toba. Wala msijiambie, ‘Abrahamu ndiye baba yetu.’ Kwa maana ninawaambia, Mungu anaweza kumwinulia Abrahamu watoto kutoka kwenye mawe haya. 9 Kwa kweli, tayari shoka limewekwa kwenye mzizi wa miti. Basi, kila mti usiozaa matunda mazuri utakatwa na kutupwa motoni.”+
-