18 Wakuu wa makuhani na waandishi waliposikia hayo, wakaanza kutafuta njia ya kumuua;+ kwa maana walimwogopa, kwa sababu umati wote ulishangazwa na mafundisho yake.+
39 Hata hivyo, baadhi ya Mafarisayo waliokuwa kwenye umati wakamwambia: “Mwalimu, wakemee wanafunzi wako.”+40 Lakini akajibu: “Ninawaambia, hata hawa wakinyamaza, mawe yatapaza sauti.”