Mathayo 21:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wakuu wa makuhani na waandishi walipoona mambo ya kustaajabisha aliyofanya na pia wavulana waliokuwa wakipaza sauti hekaluni wakisema: “Tunaomba umwokoe, Mwana wa Daudi!”+ wakakasirika+ Yohana 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi Mafarisayo wakaambiana: “Mnaona, hamjafaulu hata kidogo. Tazama! Ulimwengu wote umemfuata.”+
15 Wakuu wa makuhani na waandishi walipoona mambo ya kustaajabisha aliyofanya na pia wavulana waliokuwa wakipaza sauti hekaluni wakisema: “Tunaomba umwokoe, Mwana wa Daudi!”+ wakakasirika+