29 (Watu wote na wakusanya kodi waliposikia jambo hilo, wakamtangaza Mungu kuwa mwadilifu, kwa sababu walikuwa wamebatizwa kwa ubatizo wa Yohana.+ 30 Lakini Mafarisayo na wale wenye ujuzi wa Sheria walilipuuza shauri la Mungu,+ kwa sababu hawakuwa wamebatizwa na Yohana.)