Mathayo 21:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa maana Yohana alikuja kwenu katika njia ya uadilifu, lakini hamkumwamini. Hata hivyo, wakusanya kodi na makahaba walimwamini,+ nanyi, ijapokuwa mliona hilo, hamkujuta na kumwamini. Luka 7:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 (Watu wote na wakusanya kodi waliposikia jambo hilo, wakamtangaza Mungu kuwa mwadilifu, kwa sababu walikuwa wamebatizwa kwa ubatizo wa Yohana.+
32 Kwa maana Yohana alikuja kwenu katika njia ya uadilifu, lakini hamkumwamini. Hata hivyo, wakusanya kodi na makahaba walimwamini,+ nanyi, ijapokuwa mliona hilo, hamkujuta na kumwamini.
29 (Watu wote na wakusanya kodi waliposikia jambo hilo, wakamtangaza Mungu kuwa mwadilifu, kwa sababu walikuwa wamebatizwa kwa ubatizo wa Yohana.+