28 Mmoja wao aitwaye Agabo+ akasimama na kutabiri kupitia roho kwamba njaa kubwa ilikuwa karibu kutokea juu ya dunia yote inayokaliwa,+ na kwa kweli ilitokea wakati wa Klaudio.
6 Nami nikasikia kitu kama sauti katikati ya wale viumbe hai wanne ikisema: “Kibaba* cha ngano kwa dinari*+ moja na vibaba vitatu vya shayiri kwa dinari moja; na usidhuru divai na mafuta ya zeituni.”+