-
Matendo 21:10, 11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Lakini baada ya kukaa huko kwa siku kadhaa, nabii aliyeitwa Agabo+ akashuka kutoka Yudea. 11 Akaja mahali tulipokuwa akachukua mshipi wa Paulo, akajifunga miguu na mikono na kusema: “Hivi ndivyo roho takatifu inavyosema, ‘Wayahudi kule Yerusalemu watamfunga+ hivi mwanamume ambaye mshipi huu ni wake, nao watamtia mikononi mwa watu wa mataifa.’”+
-