Marko 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa kweli, kama Yehova* hangezifupisha siku hizo, hakuna mwili wowote ambao ungeokolewa. Lakini kwa sababu ya wale waliochaguliwa ambao amewachagua, amezifupisha siku hizo.+
20 Kwa kweli, kama Yehova* hangezifupisha siku hizo, hakuna mwili wowote ambao ungeokolewa. Lakini kwa sababu ya wale waliochaguliwa ambao amewachagua, amezifupisha siku hizo.+