-
Marko 13:20Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
20 Kwa kweli, kama Yehova hangekuwa amezikata siku hizo ziwe fupi, hakuna mwili ambao ungeokolewa. Lakini yeye amezikata siku hizo ziwe fupi kwa sababu ya wachaguliwa ambao amechagua.
-