20 Kwa kweli, kama Yehova* hangezifupisha siku hizo, hakuna mwili wowote ambao ungeokolewa. Lakini kwa sababu ya wale waliochaguliwa ambao amewachagua, amezifupisha siku hizo.+
20 Kwa kweli, kama Yehova+ hangezifupisha siku hizo, hakuna chochote chenye mwili ambacho kingeokolewa. Lakini amezifupisha siku hizo+ kwa sababu ya waliochaguliwa+ ambao amewachagua.+