Yakobo 5:8, 9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ninyi pia iweni na subira;+ imarisheni mioyo yenu, kwa sababu kuwapo kwa Bwana kumekaribia.+ 9 Msinung’unikiane,* akina ndugu, ili msihukumiwe.+ Tazama! Mwamuzi amesimama mbele ya milango.
8 Ninyi pia iweni na subira;+ imarisheni mioyo yenu, kwa sababu kuwapo kwa Bwana kumekaribia.+ 9 Msinung’unikiane,* akina ndugu, ili msihukumiwe.+ Tazama! Mwamuzi amesimama mbele ya milango.