45 Lakini ikiwa mtumwa huyo atasema moyoni mwake, ‘Bwana wangu anakawia kuja,’ naye aanze kuwapiga watumishi wa kiume na wa kike na kula na kunywa na kulewa,+ 46 bwana wa mtumwa huyo atakuja siku asiyomtazamia na katika saa asiyoijua, naye atamwadhibu kwa ukali na kumweka pamoja na wasio waaminifu.