8 Kwa maana hivi ndivyo anavyosema Yehova wa majeshi, ambaye baada ya kutukuzwa* amenituma kwa mataifa yaliyokuwa yakiwapora ninyi:+ ‘Yeyote anayewagusa ninyi anaigusa mboni ya jicho langu.*+
4 naye akaanguka chini na kusikia sauti ikimwambia: “Sauli, Sauli, kwa nini unanitesa?” 5 Akauliza: “Wewe ni nani Bwana?” Akajibu: “Mimi ni Yesu,+ ambaye unamtesa.+