Marko 14:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Hata hivyo, mmoja wa wale waliokuwa wamesimama hapo akauchomoa upanga wake, akampiga mtumwa wa kuhani mkuu na kumkata sikio.+ Luka 22:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Mmoja wao hata akampiga mtumwa wa kuhani mkuu na kumkata sikio la kulia.+ Yohana 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Simoni Petro alikuwa na upanga, basi akauchomoa na kumpiga mtumwa wa kuhani mkuu na kumkata sikio la kulia.+ Jina la mtumwa huyo lilikuwa Malko.
47 Hata hivyo, mmoja wa wale waliokuwa wamesimama hapo akauchomoa upanga wake, akampiga mtumwa wa kuhani mkuu na kumkata sikio.+
10 Simoni Petro alikuwa na upanga, basi akauchomoa na kumpiga mtumwa wa kuhani mkuu na kumkata sikio la kulia.+ Jina la mtumwa huyo lilikuwa Malko.