Luka 23:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini umati wote ukasema kwa sauti kubwa: “Muue mtu huyu,* na utufungulie Baraba!”+ Yohana 18:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Wakasema tena kwa sauti kubwa: “Si mtu huyu, bali Baraba!” Baraba alikuwa mwizi.+ Matendo 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndiyo, mlimkana huyo aliye mtakatifu na mwadilifu, nanyi mkaomba mpewe mwanamume aliyekuwa muuaji,+
14 Ndiyo, mlimkana huyo aliye mtakatifu na mwadilifu, nanyi mkaomba mpewe mwanamume aliyekuwa muuaji,+