Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 27:20, 21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini wakuu wa makuhani na wazee wakaushawishi umati uombe Baraba afunguliwe,+ lakini Yesu auawe.+ 21 Gavana akawauliza: “Mnataka niwafungulie nani kati ya hawa wawili?” Wakasema: “Baraba.”

  • Marko 15:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini wakuu wa makuhani wakauchochea umati umwombe awafungulie Baraba badala yake.+

  • Yohana 18:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Wakasema tena kwa sauti kubwa: “Si mtu huyu, bali Baraba!” Baraba alikuwa mwizi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki