Mathayo 27:20, 21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini wakuu wa makuhani na wazee wakaushawishi umati uombe Baraba afunguliwe,+ lakini Yesu auawe.+ 21 Gavana akawauliza: “Mnataka niwafungulie nani kati ya hawa wawili?” Wakasema: “Baraba.” Marko 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini wakuu wa makuhani wakauchochea umati umwombe awafungulie Baraba badala yake.+ Yohana 18:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Wakasema tena kwa sauti kubwa: “Si mtu huyu, bali Baraba!” Baraba alikuwa mwizi.+
20 Lakini wakuu wa makuhani na wazee wakaushawishi umati uombe Baraba afunguliwe,+ lakini Yesu auawe.+ 21 Gavana akawauliza: “Mnataka niwafungulie nani kati ya hawa wawili?” Wakasema: “Baraba.”