-
Marko 15:11-14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Lakini wakuu wa makuhani wakauchochea umati umwombe awafungulie Baraba badala yake.+ 12 Pilato akawauliza tena: “Basi, nifanye nini na mtu huyu mnayemwita Mfalme wa Wayahudi?”+ 13 Kwa mara nyingine tena wakapaza sauti: “Atundikwe mtini!”*+ 14 Lakini Pilato akawaambia: “Kwa nini? Amefanya kosa gani?” Hata hivyo, wakaendelea kupaza sauti hata zaidi: “Atundikwe mtini!”*+
-