Luka 23:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini wakazidi kusisitiza, wakidai kwa sauti kubwa, kwamba auawe,* na sauti zao zikashinda.+ Matendo 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mungu wa Abrahamu na wa Isaka na wa Yakobo,+ Mungu wa mababu zetu, amemtukuza Mtumishi wake,+ Yesu,+ ambaye ninyi mlimkabidhi+ na kumkana mbele ya Pilato, ingawa alikuwa ameamua kumfungua.
13 Mungu wa Abrahamu na wa Isaka na wa Yakobo,+ Mungu wa mababu zetu, amemtukuza Mtumishi wake,+ Yesu,+ ambaye ninyi mlimkabidhi+ na kumkana mbele ya Pilato, ingawa alikuwa ameamua kumfungua.