Yohana 19:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nao wanajeshi wakasokota taji la miiba kisha wakamvisha kichwani, pia wakamvisha joho la zambarau,+ 3 nao walikuwa wakija na kumwambia: “Salamu,* ewe Mfalme wa Wayahudi!” Pia walikuwa wakimpiga makofi usoni.+
2 Nao wanajeshi wakasokota taji la miiba kisha wakamvisha kichwani, pia wakamvisha joho la zambarau,+ 3 nao walikuwa wakija na kumwambia: “Salamu,* ewe Mfalme wa Wayahudi!” Pia walikuwa wakimpiga makofi usoni.+